Hebrews 1:10-12
10 aPia asema, “Hapo mwanzo, Ee Bwana, uliweka misingi ya dunia,nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.
11 bHizo zitatoweka, lakini wewe utadumu;
zote zitachakaa kama vazi.
12 cUtazikung’utakung’uta kama joho,
nazo zitachakaa kama vazi.
Lakini wewe hubadiliki,
nayo miaka yako haikomi kamwe.”
Copyright information for
SwhKC